May 14, 2014

BASI LA ABIRIA LAPATA AJALI ENEO LA KIBITI MKOA WA PWANI



Basi lilalofanya safari zake kati ya Mbagala Rangi Tatu na Kimanzichana lapata ajali jana katika eneo la Kibiti, Mkoa wa Pwani. Mpaka tunaondoka eneo la Tukio hakuna taarifa ya aliyepoteza maisha. PichaLukaza Blog

No comments:

Post a Comment