May 12, 2014

BAISKELI MKOMBOZI WA USAFIRI KWA AKINA MAMA WENGI WA NZEGA MKOANI TABORA.

 
 
 
 
Akinana Mama wa Nzega wakiwa na usafiri wao wa baiskeli wakienda kwenye shughuli zao,kama waoenekanavyo pichani mara baada ya kunaswa na Globu ya Jamii wilayani humo.Akina mama wengi wilayani humo hutumia chombo hicho (baiskeli) kama sehemu yao ya usafiri.

No comments:

Post a Comment